20 Lakini kama sivyo, moto+ na utoke ndani ya Abimeleki, uwateketeze wenye mashamba wa Shekemu na nyumba ya Milo,+ kisha moto+ na utoke ndani ya wenye mashamba wa Shekemu na nyumba ya Milo, nao umteketeze Abimeleki.”+
10 Lakini Eliya akajibu na kumwambia yule mkuu wa 50: “Naam, ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto+ na ushuke kutoka mbinguni, ukuteketeze wewe na 50 wako.” Na moto ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na wale 50 wake.+