6 Baadaye, watu wote wenye mashamba wa Shekemu na nyumba yote ya Milo+ wakakusanyika pamoja wakaenda, wakamfanya Abimeleki atawale akiwa mfalme,+ karibu na ule mti mkubwa,+ nguzo iliyokuwa katika Shekemu.+
49 Basi watu wote wakajikatia tawi kila mmoja wao, wakamfuata Abimeleki. Ndipo wakayaweka juu ya ngome ile, nao wakaitia moto ngome hiyo juu yao, hivi kwamba watu wote wa mnara wa Shekemu wakafa pia, karibu watu elfu moja, wanaume na wanawake.+