15 Ndipo mkwamba ukaiambia miti, ‘Ikiwa kweli mnanitia mafuta niwe mfalme juu yenu, njooni, tafuteni kimbilio chini ya kivuli changu.+ Lakini kama sivyo, moto+ na utoke ndani ya mkwamba uiteketeze mierezi+ ya Lebanoni.’+
20 Lakini kama sivyo, moto+ na utoke ndani ya Abimeleki, uwateketeze wenye mashamba wa Shekemu na nyumba ya Milo,+ kisha moto+ na utoke ndani ya wenye mashamba wa Shekemu na nyumba ya Milo, nao umteketeze Abimeleki.”+