Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 9:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini kama sivyo, moto+ na utoke ndani ya Abimeleki, uwateketeze wenye mashamba wa Shekemu na nyumba ya Milo,+ kisha moto+ na utoke ndani ya wenye mashamba wa Shekemu na nyumba ya Milo, nao umteketeze Abimeleki.”+

  • Waamuzi 9:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Na Abimeleki akapigana na jiji hilo siku hiyo nzima, akaliteka jiji; akawaua watu waliokuwa ndani yake,+ kisha akalibomoa jiji+ na kulitia chumvi.+

  • Waamuzi 9:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Basi watu wote wakajikatia tawi kila mmoja wao, wakamfuata Abimeleki. Ndipo wakayaweka juu ya ngome ile, nao wakaitia moto ngome hiyo juu yao, hivi kwamba watu wote wa mnara wa Shekemu wakafa pia, karibu watu elfu moja, wanaume na wanawake.+

  • Isaya 13:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami hakika nitaleta ubaya wake juu ya nchi yenye kuzaa,+ na kosa lao wenyewe juu ya waovu. Nami kwa kweli nitakifanya kiburi cha wenye kimbelembele kikome, na majivuno ya waonevu nitayashusha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki