-
2 Wafalme 14:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Ndipo Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma ujumbe kwa Amazia mfalme wa Yuda, na kusema: “Gugu lenye miiba lililokuwa katika Lebanoni lilituma ujumbe kwa mwerezi+ uliokuwa katika Lebanoni, na kusema, ‘Mpe mwanangu binti yako awe mke wake.’ Hata hivyo, mnyama wa mwituni aliyekuwa katika Lebanoni akapita karibu, akalikanyaga lile gugu lenye miiba.+
-
-
Isaya 37:24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
24 Umemdhihaki Yehova kupitia watumishi wako, nawe unasema,+
‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita, mimi mwenyewe+—
Mimi hakika nitapanda vilele vya maeneo yenye milima,+
Sehemu za mbali zaidi za Lebanoni;+
Nami nitaikata mierezi yake iliyotukuka, miberoshi yake iliyo bora.+
Nami nitaingia katika kilele chake cha mwisho, msitu wa shamba lake la matunda.+
-