Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma ujumbe kwa Amazia mfalme wa Yuda, na kusema: “Gugu lenye miiba lililokuwa katika Lebanoni lilituma ujumbe kwa mwerezi+ uliokuwa katika Lebanoni, na kusema, ‘Mpe mwanangu binti yako awe mke wake.’ Hata hivyo, mnyama wa mwituni aliyekuwa katika Lebanoni akapita karibu, akalikanyaga lile gugu lenye miiba.+

  • Isaya 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na juu ya mierezi yote ya Lebanoni+ ambayo ni mirefu na iliyoinuliwa juu na juu ya miti yote mikubwa sana ya Bashani;+

  • Isaya 37:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Umemdhihaki Yehova kupitia watumishi wako, nawe unasema,+

      ‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita, mimi mwenyewe+—

      Mimi hakika nitapanda vilele vya maeneo yenye milima,+

      Sehemu za mbali zaidi za Lebanoni;+

      Nami nitaikata mierezi yake iliyotukuka, miberoshi yake iliyo bora.+

      Nami nitaingia katika kilele chake cha mwisho, msitu wa shamba lake la matunda.+

  • Ezekieli 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+

  • Amosi 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Lakini mimi, nilikuwa nimemwangamiza Mwamori+ kwa sababu yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, na ambaye alikuwa na nguvu kama miti mikubwa;+ nami nikaangamiza matunda yake juu na mizizi yake chini.+

  • Zekaria 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Piga mayowe, Ee mberoshi, kwa maana mwerezi umeanguka; kwa sababu wenye utukufu wameporwa!+ Pigeni mayowe, enyi miti mikubwa sana ya Bashani, kwa maana msitu usiopenyeka umeanguka!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki