3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+
2 Piga mayowe, Ee mberoshi, kwa maana mwerezi umeanguka; kwa sababu wenye utukufu wameporwa!+ Pigeni mayowe, enyi miti mikubwa sana ya Bashani, kwa maana msitu usiopenyeka umeanguka!+