Ayubu 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Milipuko mikali ya hasira yako na imwagike,+Na uone kila mtu mwenye majivuno na umshushe chini. Isaya 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+ Danieli 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+ Luka 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+
11 Macho yenye majivuno ya mtu wa udongo yatashushwa, na kiburi cha wanadamu kitainama;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu siku hiyo.+
37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+