Waamuzi 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 ndiyo, ikiwa mmemtendea Yerubaali na nyumba yake kwa ukweli na bila kosa leo hii, shangilieni juu ya Abimeleki naye pia ashangilie juu yenu.+ Wagalatia 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.
19 ndiyo, ikiwa mmemtendea Yerubaali na nyumba yake kwa ukweli na bila kosa leo hii, shangilieni juu ya Abimeleki naye pia ashangilie juu yenu.+
3 Kwa maana yeyote akifikiri kuwa yeye ni kitu wakati yeye si kitu,+ anaidanganya akili yake mwenyewe.