Methali 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Afadhali mtu akutane na dubu aliyepoteza watoto wake+ kuliko kukutana na mjinga katika upumbavu wake.+ Methali 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+ Hosea 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nitakutana nao kama dubu ambaye amepoteza watoto wake,+ nitaurarua ukuta wa moyo wao. Nami nitawala hapo kama simba;+ mnyama wa mwituni atawararua vipande-vipande.+
12 Afadhali mtu akutane na dubu aliyepoteza watoto wake+ kuliko kukutana na mjinga katika upumbavu wake.+
15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+
8 Nitakutana nao kama dubu ambaye amepoteza watoto wake,+ nitaurarua ukuta wa moyo wao. Nami nitawala hapo kama simba;+ mnyama wa mwituni atawararua vipande-vipande.+