Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 17:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na Hushai akaendelea kusema: “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba baba yako na wanaume wake ni wenye nguvu,+ nao wana uchungu wa nafsi,+ kama dubu-jike ambaye amepoteza watoto wake porini;+ na baba yako ni shujaa wa vita,+ naye hatalala usiku akiwa pamoja na watu.

  • 2 Wafalme 2:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+

  • Hosea 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nitakutana nao kama dubu ambaye amepoteza watoto wake,+ nitaurarua ukuta wa moyo wao. Nami nitawala hapo kama simba;+ mnyama wa mwituni atawararua vipande-vipande.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki