2 Samweli 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hushai akaendelea kusema: “Unajua vizuri kwamba baba yako na wanaume wake ni mashujaa,+ na wana hasira* kama dubu aliyepoteza watoto wake porini.+ Isitoshe, baba yako ni mpiganaji hodari,+ naye hatakaa usiku kucha na watu.
8 Hushai akaendelea kusema: “Unajua vizuri kwamba baba yako na wanaume wake ni mashujaa,+ na wana hasira* kama dubu aliyepoteza watoto wake porini.+ Isitoshe, baba yako ni mpiganaji hodari,+ naye hatakaa usiku kucha na watu.