Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mtumishi mmoja akasema: “Tazama! Nimeona mwana fulani wa Yese Mbethlehemu anavyopiga kinubi kwa ustadi, ni mtu jasiri na shujaa hodari.+ Ana ustadi wa kuongea, ana sura nzuri,+ na Yehova yuko pamoja naye.”+

  • 2 Samweli 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Watumishi wake wote walioondoka pamoja naye* na Wakerethi wote na Wapelethi+ wote na Wagathi+ wote, watu 600 waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi,+ wakapita mbele yake akiwachunguza.*

  • 2 Samweli 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Haya ndiyo majina ya mashujaa hodari wa Daudi:+ Yosheb-bashebethi Mtakemoni, kiongozi wa wale watatu.+ Wakati mmoja, alitumia mkuki wake kuwaua watu 800.

  • 2 Samweli 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya+ alikuwa kiongozi wa wengine watatu; alitumia mkuki wake kuwaua watu 300, naye alikuwa maarufu kama wale watatu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Mashujaa hodari jeshini walikuwa Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki