20 Abishai+ ndugu ya Yoabu+ akawa kiongozi wa wengine watatu; alitumia mkuki wake kuwaua watu 300, naye alikuwa maarufu kama wale watatu.+ 21 Ingawa alikuwa mashuhuri zaidi kuliko wale wengine watatu, na alikuwa kiongozi wao, hakuwa shujaa kama wale watatu wa kwanza.