24 Mwishowe akageuka nyuma, akawaona, naye akawalaani+ katika jina la Yehova. Ndipo dubu-jike+ wawili wakatoka katika vichaka, wakaanza kuwararua vipande-vipande watoto 42 kati yao.+
8 Nitakutana nao kama dubu ambaye amepoteza watoto wake,+ nitaurarua ukuta wa moyo wao. Nami nitawala hapo kama simba;+ mnyama wa mwituni atawararua vipande-vipande.+