50 Basi Daudi, akiwa na kombeo na jiwe, akawa mwenye nguvu zaidi kuliko yule Mfilisti, akampiga Mfilisti na kumuua; na hakuna upanga uliokuwa mkononi mwa Daudi.+
8 Baada ya muda, vita vikatokea tena; na Daudi akafanya mashambulizi na kupigana na Wafilisti, akawapiga kwa mauaji makubwa,+ wakakimbia kutoka mbele yake.+
18 Na Wasiria wakakimbia+ kutoka mbele ya Israeli; na Daudi akaua kati ya Wasiria waendesha-magari+ 700 na wapanda-farasi 40,000, naye akampiga Shobaki mkuu wa jeshi, hata akafa huko.+