Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 17:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Basi Daudi, akiwa na kombeo na jiwe, akawa mwenye nguvu zaidi kuliko yule Mfilisti, akampiga Mfilisti na kumuua; na hakuna upanga uliokuwa mkononi mwa Daudi.+

  • 1 Samweli 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wale wanawake waliokuwa wakisherehekea wakawa wakiitikia na kusema:

      “Sauli amepiga maelfu yake,

      Na Daudi makumi ya maelfu yake.”+

  • 1 Samweli 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baada ya muda, vita vikatokea tena; na Daudi akafanya mashambulizi na kupigana na Wafilisti, akawapiga kwa mauaji makubwa,+ wakakimbia kutoka mbele yake.+

  • 2 Samweli 10:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na Wasiria wakakimbia+ kutoka mbele ya Israeli; na Daudi akaua kati ya Wasiria waendesha-magari+ 700 na wapanda-farasi 40,000, naye akampiga Shobaki mkuu wa jeshi, hata akafa huko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki