Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na mmoja wa watumishi akajibu na kusema: “Tazama! Nimeona jinsi mwana fulani wa Yese Mbethlehemu alivyo mwenye ustadi wa kukipiga,+ naye ni shujaa,+ mwanamume mwenye nguvu,+ na mwanamume wa vita na msemaji mwenye akili+ na mwanamume mwenye umbo zuri,+ na Yehova yupo pamoja naye.”+

  • 2 Samweli 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na watumishi wake wote walikuwa wakivuka kando yake; na Wakerethi wote na Wapelethi+ wote na Wagathi+ wote, watu mia sita waliokuwa wamemfuata kutoka Gathi,+ walikuwa wakivuka mbele ya uso wa mfalme.

  • 2 Samweli 23:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Haya ndiyo majina ya wale wanaume wenye nguvu+ waliokuwa wa Daudi: Yosheb-bashebethi+ Mtakemoni, kichwa cha wale watatu. Alikuwa akitikisa mkuki wake juu ya watu mia nane waliouawa kwa wakati mmoja.

  • 2 Samweli 23:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya,+ alikuwa kichwa cha wale 30, naye alitikisa mkuki wake juu ya watu 300 waliouawa, naye alikuwa na sifa kama wale watatu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa habari ya wanaume wenye nguvu wa majeshi, kulikuwa na Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani+ mwana wa Dodo wa Bethlehemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki