8 Njia kuu zimefanywa ukiwa;+ mwenye kutembea juu ya njia amekoma.+ Amelivunja agano;+ ameyadharau majiji;+ hamhesabu kuwa kitu mwanadamu anayeweza kufa.+
15 “ ‘Au nikipitisha wanyama-mwitu wenye kudhuru nchini+ nao wawaue watoto+ wenu nayo nchi iwe mahame yenye ukiwa bila mtu yeyote anayeipitia kwa sababu ya wanyama-mwitu,+
14 ‘Ndipo nikawatupa kama tufani kotekote katika mataifa+ yote ambayo hawakuyajua;+ nayo nchi imeachwa ukiwa nyuma yao, bila kuwa na mtu yeyote anayepita kati yake wala anayerudi;+ nao wakaifanya nchi yenye kutamanika+ kuwa kitu cha kushangaza.’ ”