Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Katika siku za Shamgari+ mwana wa Anathi,

      Katika siku za Yaeli,+ njia hazikuwa na wapitaji,

      Na wasafiri wa barabarani wakawa wakisafiri kwa njia za kuzunguka.+

  • Isaya 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Njia kuu zimefanywa ukiwa;+ mwenye kutembea juu ya njia amekoma.+ Amelivunja agano;+ ameyadharau majiji;+ hamhesabu kuwa kitu mwanadamu anayeweza kufa.+

  • Ezekieli 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “ ‘Au nikipitisha wanyama-mwitu wenye kudhuru nchini+ nao wawaue watoto+ wenu nayo nchi iwe mahame yenye ukiwa bila mtu yeyote anayeipitia kwa sababu ya wanyama-mwitu,+

  • Zekaria 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ‘Ndipo nikawatupa kama tufani kotekote katika mataifa+ yote ambayo hawakuyajua;+ nayo nchi imeachwa ukiwa nyuma yao, bila kuwa na mtu yeyote anayepita kati yake wala anayerudi;+ nao wakaifanya nchi yenye kutamanika+ kuwa kitu cha kushangaza.’ ”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki