2 Wafalme 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wewe umesema (lakini hilo ni neno la midomo), ‘Kuna mashauri+ na nguvu kwa ajili ya vita.’ Sasa umeweka tegemeo lako katika nani, hivi kwamba ukaniasi+ mimi? Zaburi 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Njia zake zinaendelea kufanikiwa wakati wote.+Maamuzi yako ya hukumu yako juu sana asiweze kuyafikia;+Nao wale wote wanaomwonyesha uadui, anawafanyia dhihaka.+
20 Wewe umesema (lakini hilo ni neno la midomo), ‘Kuna mashauri+ na nguvu kwa ajili ya vita.’ Sasa umeweka tegemeo lako katika nani, hivi kwamba ukaniasi+ mimi?
5 Njia zake zinaendelea kufanikiwa wakati wote.+Maamuzi yako ya hukumu yako juu sana asiweze kuyafikia;+Nao wale wote wanaomwonyesha uadui, anawafanyia dhihaka.+