Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Usiwaonee wivu watu wabaya,+ wala usitamani kuingia pamoja nao.+

  • Isaya 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa juu,+ lakini wao hawauoni.+ Wataona na kupata aibu+ kutokana na bidii kwa ajili ya watu wako. Ndiyo, moto+ kwa ajili ya adui zako utawateketeza wao.

  • Hosea 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ni nani aliye na hekima, apate kuelewa mambo haya?+ Mwenye busara, apate kuyajua?+ Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+ na waadilifu ndio watakaotembea katika hizo;+ bali wakosaji ndio watakaojikwaa katika hizo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki