Ayubu 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wanashinda katikati ya mchana wakiwa kati ya ukuta wa matuta;Wanalazimika kukanyaga mashinikizo ya divai, na bado wanakuwa na kiu.+ Yoeli 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Shamba limeporwa,+ nchi imeomboleza;+ kwa maana nafaka imeporwa, divai mpya imekauka,+ mafuta yamekauka.+
11 Wanashinda katikati ya mchana wakiwa kati ya ukuta wa matuta;Wanalazimika kukanyaga mashinikizo ya divai, na bado wanakuwa na kiu.+
10 Shamba limeporwa,+ nchi imeomboleza;+ kwa maana nafaka imeporwa, divai mpya imekauka,+ mafuta yamekauka.+