13 “Ole wake anayejenga nyumba yake,+ lakini si kwa uadilifu, na vyumba vyake vya juu, lakini si kwa haki, kwa kutumia mwanadamu mwenzake anayetumikia bure, na ambaye hampi malipo yake;+
4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.