31 Na mwanamume mwenye nguvu kwa hakika atakuwa kitani,+ na matunda ya kazi yake yatakuwa cheche; na vyote viwili hakika vitateketezwa katika miali ya moto kwa wakati uleule mmoja, bila kuwa na yeyote wa kuzima.”+
11 “ ‘Nilisababisha maangamizi kati yenu, kama maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora.+ Nanyi mkawa kama kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.