Wagalatia 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tena, kwamba hakuna yeyote ambaye kwa njia ya sheria hutangazwa kuwa mwadilifu+ kwa Mungu ni wazi, kwa maana “mwadilifu ataishi kwa sababu ya imani.”+ Waefeso 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, kwa kweli, ninyi mmeokolewa kupitia imani;+ na hiyo si kutokana na ninyi,+ ni zawadi ya Mungu.+
11 Tena, kwamba hakuna yeyote ambaye kwa njia ya sheria hutangazwa kuwa mwadilifu+ kwa Mungu ni wazi, kwa maana “mwadilifu ataishi kwa sababu ya imani.”+
8 Kwa fadhili hizi zisizostahiliwa, kwa kweli, ninyi mmeokolewa kupitia imani;+ na hiyo si kutokana na ninyi,+ ni zawadi ya Mungu.+