Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+

      Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+

      Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+

  • Zaburi 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Basi jueni kwamba hakika Yehova atamtendea mshikamanifu wake kwa njia ya pekee;+

      Yehova mwenyewe atasikia ninapomwita.+

  • Zaburi 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+

      Naye hatawaacha washikamanifu wake.+

      ע [ʽAʹyin]

      Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+

      Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki