20 wewe uliyeweka ishara na miujiza katika nchi ya Misri mpaka leo hii na katika Israeli na kati ya wanadamu,+ ili ujifanyie jina, kama ilivyo leo hii.+
3 Jinsi zilivyo kuu ishara zake, na jinsi maajabu yake yalivyo yenye nguvu!+ Ufalme wake ni ufalme wa mpaka wakati usio na kipimo,+ na utawala wake ni wa kizazi baada ya kizazi.+
4 huku Mungu akijiunga katika kutoa ushahidi kwa ishara na vilevile mambo ya ajabu na matendo mbalimbali yenye nguvu+ na kwa ugawaji+ wa roho takatifu kulingana na mapenzi yake?+