Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 18:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+

      Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+

      Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+

  • Zaburi 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+

      Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela.

  • Danieli 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nebukadneza akajibu na kusema: “Abarikiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego,+ aliyemtuma malaika wake+ na kuwaokoa watumishi wake waliomtegemea,+ na ambao walibadili neno la mfalme na kutoa miili yao, kwa maana hawakutumikia kamwe+ wala kuabudu+ mungu yeyote mwingine ila Mungu wao wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki