Mwanzo 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Melkizedeki+ mfalme wa Salemu+ akaleta mkate na divai,+ naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Zaidi.+ Danieli 2:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Mfalme akamwambia Danieli: “Kwa kweli Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa wafalme+ na Mfunuaji wa siri, kwa sababu uliweza kufunua siri hii.”+ 1 Wakorintho 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa “miungu,”+ iwe wako mbinguni+ au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,+
18 Na Melkizedeki+ mfalme wa Salemu+ akaleta mkate na divai,+ naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Zaidi.+
47 Mfalme akamwambia Danieli: “Kwa kweli Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa wafalme+ na Mfunuaji wa siri, kwa sababu uliweza kufunua siri hii.”+
5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa “miungu,”+ iwe wako mbinguni+ au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,+