Danieli 3:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nebukadneza akaukaribia mlango wa lile tanuru lenye moto mkali na kusema: “Shadraki, Meshaki, na Abednego, ninyi watumishi wa Mungu Aliye Juu Zaidi,+ tokeni nje, mje hapa!” Shadraki, Meshaki, na Abednego wakatoka katikati ya moto.
26 Nebukadneza akaukaribia mlango wa lile tanuru lenye moto mkali na kusema: “Shadraki, Meshaki, na Abednego, ninyi watumishi wa Mungu Aliye Juu Zaidi,+ tokeni nje, mje hapa!” Shadraki, Meshaki, na Abednego wakatoka katikati ya moto.