Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Yoabu akamwambia Amasa: “Je, mambo ni mema kwako, ndugu yangu?”+ Ndipo mkono wa kuume wa Yoabu ukashika ndevu za Amasa ili ambusu.+

  • Mathayo 12:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+

  • Luka 22:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Alipokuwa bado akisema, tazama! umati, na yule mtu anayeitwa Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, alikuwa akienda mbele yao;+ naye akamkaribia Yesu ili kumbusu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki