2 Samweli 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yoabu akamwambia Amasa: “Je, mambo ni mema kwako, ndugu yangu?”+ Ndipo mkono wa kuume wa Yoabu ukashika ndevu za Amasa ili ambusu.+ Mathayo 12:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+ Luka 22:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Alipokuwa bado akisema, tazama! umati, na yule mtu anayeitwa Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, alikuwa akienda mbele yao;+ naye akamkaribia Yesu ili kumbusu.+
9 Na Yoabu akamwambia Amasa: “Je, mambo ni mema kwako, ndugu yangu?”+ Ndipo mkono wa kuume wa Yoabu ukashika ndevu za Amasa ili ambusu.+
34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+
47 Alipokuwa bado akisema, tazama! umati, na yule mtu anayeitwa Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, alikuwa akienda mbele yao;+ naye akamkaribia Yesu ili kumbusu.+