16 Lakini epuka kabisa maneno matupu ambayo huchafua mambo matakatifu;+ kwa maana wataendelea kwenye ukosefu wa kumwogopa Mungu ulio mwingi zaidi na zaidi,+
3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+