Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaniambia tena: “Nenda, Danieli, kwa sababu maneno hayo yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.+

  • Habakuki 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana maono hayo bado ni ya wakati uliowekwa,+ nayo yanafanya haraka kuelekea mwisho, wala hayatasema uwongo. Hata yakikawia, endelea kuyatarajia; kwa maana bila shaka yatatimia.+ Hayatachelewa.

  • 2 Timotheo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini ujue jambo hili, ya kwamba katika siku za mwisho+ kutakuwa na nyakati za hatari zilizo ngumu kushughulika nazo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki