Ezekieli 45:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Imetosha, enyi viongozi wa Israeli!’ “‘Acheni ukatili na ukandamizaji, na mtende mambo ya haki na ya uadilifu.+ Acheni kuchukua kwa nguvu mali ya watu wangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
9 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Imetosha, enyi viongozi wa Israeli!’ “‘Acheni ukatili na ukandamizaji, na mtende mambo ya haki na ya uadilifu.+ Acheni kuchukua kwa nguvu mali ya watu wangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.