Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova anasema hivi: “Tekelezeni haki na uadilifu. Na mtu anayenyang’anywa, mwokoeni kutoka mikononi mwa mtu laghai. Msimtese mkaaji yeyote mgeni, na msimdhuru yatima yeyote au mjane.+ Nanyi msimwage damu yoyote isiyo na hatia mahali hapa.+

  • Mika 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema.

      Na Yehova anataka* nini kutoka kwako?

      Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+

      Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+

  • Zekaria 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Haya ndiyo mambo mnayopaswa kufanya: Kila mtu amwambie mwenzake ukweli,+ na hukumu mnazotoa katika malango yenu zinapaswa kutetea ukweli na amani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki