Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki.

  • Isaya 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+

      Mrekebisheni mkandamizaji,

      Teteeni haki za yatima,

      Nanyi mteteeni mjane.”+

  • Ezekieli 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndani yako wanamdharau baba yao na mama yao.+ Wanampunja mkaaji mgeni, na kumtesa yatima na mjane.”’”+

  • Mika 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+

      Pia nyumba, na kuzichukua;

      Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+

      Wanachukua urithi wa mtu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki