Mambo ya Walawi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki. Isaya 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+Mrekebisheni mkandamizaji,Teteeni haki za yatima,Nanyi mteteeni mjane.”+ Ezekieli 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndani yako wanamdharau baba yao na mama yao.+ Wanampunja mkaaji mgeni, na kumtesa yatima na mjane.”’”+ Mika 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+Pia nyumba, na kuzichukua;Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+Wanachukua urithi wa mtu.
15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki.
17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+Mrekebisheni mkandamizaji,Teteeni haki za yatima,Nanyi mteteeni mjane.”+
7 Ndani yako wanamdharau baba yao na mama yao.+ Wanampunja mkaaji mgeni, na kumtesa yatima na mjane.”’”+
2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+Pia nyumba, na kuzichukua;Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+Wanachukua urithi wa mtu.