Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Usionyeshe upendeleo katika kesi ya mtu maskini.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wakati huo niliwaagiza hivi waamuzi wenu: ‘Mnaposikiliza kesi kati ya ndugu zenu, mnapaswa kuhukumu kwa uadilifu+ kati ya mtu na ndugu yake au mkaaji mgeni.+ 17 Hampaswi kuhukumu kwa upendeleo.+ Mnapaswa kumsikiliza mdogo kama mnavyomsikiliza mkubwa.+ Msiogopeshwe na wanadamu,+ kwa sababu hukumu ni ya Mungu;+ na ikiwa kesi ni ngumu sana kwenu, ileteni kwangu, nami nitaisikiliza.’+

  • Kumbukumbu la Torati 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Msipotoshe haki,+ msipendelee,+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotosha maneno ya waadilifu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akawaambia hivi waamuzi: “Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana hamhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya Yehova, naye yupo pamoja nanyi mnapotoa hukumu.+

  • Waroma 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Mungu hana ubaguzi.+

  • Yakobo 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini mkiendelea kuonyesha upendeleo,+ mnafanya dhambi, na sheria inawahukumu* kuwa wakosaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki