Kutoka 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Msimtese wala kumkandamiza mkaaji mgeni,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mambo ya Walawi 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Sheria itakuwa moja kwenu, iwe ni mgeni au mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”
21 “Msimtese wala kumkandamiza mkaaji mgeni,+ kwa sababu ninyi mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+
34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.