Mambo ya Walawi 19:33, 34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “‘Mgeni akiishi nanyi katika nchi yenu, msimtese.+ 34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Kumbukumbu la Torati 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ni lazima ninyi pia mumpende mkaaji mgeni, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+
33 “‘Mgeni akiishi nanyi katika nchi yenu, msimtese.+ 34 Mgeni anayeishi pamoja nanyi mtamwona kama mwenyeji;+ nanyi lazima mumpende kama mnavyojipenda wenyewe, kwa maana mlikuwa wageni nchini Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
19 Ni lazima ninyi pia mumpende mkaaji mgeni, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+