Mambo ya Walawi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki. Waroma 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Mungu hana ubaguzi.+
15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki.