Kutoka 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Usiufuate umati ili kutenda maovu, wala usipotoshe haki kwa kutoa ushahidi wa uwongo ili uunge mkono umati.* Mambo ya Walawi 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki.
2 Usiufuate umati ili kutenda maovu, wala usipotoshe haki kwa kutoa ushahidi wa uwongo ili uunge mkono umati.*
15 “‘Usitoe hukumu isiyo ya haki. Usiwabague maskini au kuwapendelea matajiri.+ Unapaswa kumhukumu mwenzako kwa haki.