Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hakika watu wa Yuda walipatwa na mambo hayo kwa agizo la Yehova, ili kuwaondoa mbele za macho yake+ kwa sababu ya dhambi zote ambazo Manase alitenda,+ 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia aliyomwaga,+ kwa maana alijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia na Yehova hakutaka kumsamehe.+

  • Yeremia 7:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 msipowakandamiza wakaaji wageni, mayatima,* na wajane;+ msipomwaga damu isiyo na hatia mahali hapa; na msipoifuata miungu mingine na kujiletea madhara;+ 7 basi nitawaruhusu mwendelee kukaa mahali hapa, katika nchi niliyowapa mababu zenu daima.”’”*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki