Yeremia 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kisha Yehova akaniambia: “Hata kama Musa na Samweli wangekuwa wamesimama mbele zangu,+ singewaonyesha kibali* watu hawa. Wafukuze kutoka mbele zangu. Waache waende. Maombolezo 3:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 “Tumetenda dhambi na kuasi,+ nawe hujatusamehe.+
15 Kisha Yehova akaniambia: “Hata kama Musa na Samweli wangekuwa wamesimama mbele zangu,+ singewaonyesha kibali* watu hawa. Wafukuze kutoka mbele zangu. Waache waende.