Kutoka 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Musa akamsihi* Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, kwa nini uwaelekezee watu wako hasira yako inayowaka, baada ya kuwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?+ 1 Samweli 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Samweli akachukua mwanakondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa dhabihu nzima ya kuteketezwa;+ na Samweli akamwomba Yehova awasaidie Waisraeli, naye Yehova akamjibu.+ Zaburi 99:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+ Walikuwa wakimwita Yehova,Naye alikuwa akiwajibu.+ Zaburi 106:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alikuwa karibu kuamuru waangamizwe,Lakini Musa, mchaguliwa wake, akaingilia kati*Ili kuzuia hasira yake inayoangamiza.+
11 Ndipo Musa akamsihi* Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, kwa nini uwaelekezee watu wako hasira yako inayowaka, baada ya kuwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?+
9 Ndipo Samweli akachukua mwanakondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa dhabihu nzima ya kuteketezwa;+ na Samweli akamwomba Yehova awasaidie Waisraeli, naye Yehova akamjibu.+
6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+ Walikuwa wakimwita Yehova,Naye alikuwa akiwajibu.+
23 Alikuwa karibu kuamuru waangamizwe,Lakini Musa, mchaguliwa wake, akaingilia kati*Ili kuzuia hasira yake inayoangamiza.+