Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Musa akamsihi* Yehova Mungu wake+ akisema: “Ee Yehova, kwa nini uwaelekezee watu wako hasira yako inayowaka, baada ya kuwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?+

  • 1 Samweli 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Samweli akachukua mwanakondoo anayenyonya, akamtoa kwa Yehova kuwa dhabihu nzima ya kuteketezwa;+ na Samweli akamwomba Yehova awasaidie Waisraeli, naye Yehova akamjibu.+

  • Zaburi 99:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Musa na Haruni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,+

      Na Samweli alikuwa miongoni mwa wale walioliita jina lake.+

      Walikuwa wakimwita Yehova,

      Naye alikuwa akiwajibu.+

  • Zaburi 106:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Alikuwa karibu kuamuru waangamizwe,

      Lakini Musa, mchaguliwa wake, akaingilia kati*

      Ili kuzuia hasira yake inayoangamiza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki