Zaburi 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Acha uovu, utende mema;+Tafuta amani na uifuatie.+ Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+ Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu;+ shikamaneni na mema.
10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+