Zaburi 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Acha uovu, utende mema;+Tafuta amani na uifuatie.+ Zaburi 101:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu. Ninachukia matendo ya wale wanaokengeuka kutoka kwa jambo lililo sawa;+Sitashirikiana nao kamwe.* Zaburi 119:104 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 104 Kwa sababu ya maagizo yako ninatenda kwa uelewaji.+ Ndiyo sababu ninaichukia kila njia ya uwongo.+ Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu;+ shikamaneni na mema. Waebrania 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+
3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu. Ninachukia matendo ya wale wanaokengeuka kutoka kwa jambo lililo sawa;+Sitashirikiana nao kamwe.*
104 Kwa sababu ya maagizo yako ninatenda kwa uelewaji.+ Ndiyo sababu ninaichukia kila njia ya uwongo.+
9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+