Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 97:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+

      Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+

      Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+

  • Zaburi 101:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu.

      Ninachukia matendo ya wale wanaokengeuka kutoka kwa jambo lililo sawa;+

      Sitashirikiana nao kamwe.*

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+

      Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+

  • Methali 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwadilifu huchukia uwongo,+

      Lakini matendo ya waovu huleta aibu na fedheha.

  • Waroma 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Upendo wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu;+ shikamaneni na mema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki