Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+ Zaburi 101:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu. Ninachukia matendo ya wale wanaokengeuka kutoka kwa jambo lililo sawa;+Sitashirikiana nao kamwe.* Methali 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa upendo mshikamanifu na uaminifu, kosa husamehewa,+Na kwa kumwogopa Yehova mtu hujiepusha na uovu.+ Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu;+ shikamaneni na mema.
10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+
3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu. Ninachukia matendo ya wale wanaokengeuka kutoka kwa jambo lililo sawa;+Sitashirikiana nao kamwe.*
6 Kwa upendo mshikamanifu na uaminifu, kosa husamehewa,+Na kwa kumwogopa Yehova mtu hujiepusha na uovu.+