17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+
22 Sasa kwa sababu mmejitakasa wenyewe* kwa kuwa watiifu kwa ile kweli na hivyo kuwa na upendo wa kindugu+ bila unafiki, pendaneni sana kutoka moyoni.+