2 Wakorintho 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na amani+ atakuwa pamoja nanyi. 1 Wathesalonike 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Dumisheni amani miongoni mwenu.+ 2 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe awapate mkiwa bila doa wala dosari na mkiwa katika amani.+
11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na amani+ atakuwa pamoja nanyi.
13 na mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Dumisheni amani miongoni mwenu.+
14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe awapate mkiwa bila doa wala dosari na mkiwa katika amani.+