1 Wathesalonike 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 na mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Dumisheni amani miongoni mwenu.+ Yakobo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+ 1 Petro 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na aache mabaya,+ atende mema;+ na atafute amani na kuifuatilia.+ 2 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe awapate mkiwa bila doa wala dosari na mkiwa katika amani.+
13 na mwafikirie kwa njia inayozidi ile ya kawaida katika upendo kwa sababu ya kazi yao.+ Dumisheni amani miongoni mwenu.+
17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+
14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe awapate mkiwa bila doa wala dosari na mkiwa katika amani.+