Marko 9:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake, mtaikoleza na nini?+ Iweni na chumvi ndani yenu,+ na mdumishe amani kati yenu.”+ 2 Wakorintho 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na amani+ atakuwa pamoja nanyi.
50 Chumvi ni nzuri, lakini ikipoteza ladha yake, mtaikoleza na nini?+ Iweni na chumvi ndani yenu,+ na mdumishe amani kati yenu.”+
11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na amani+ atakuwa pamoja nanyi.